
Mapenzi ya sasa yamejawa na tamaa sana ya pesa kwa hiyo hizi ndizo stage za kumteka mwanamke
step 1:
Kumpa vizawadi kila ifikapo wikieni,ukiwa hivyo utasababisha mpenzi wako hakuamini xana
step 2 :
kumtoa out ifikapo wikiend,hii ni hatua nzuri ya kumfanya mpenzi wako ajione mwenye bahati ya pekee sana
step 3 :
kumpa maneno matamu na malaini,mwanaume ukimwambia mwanamke maneno matamu xana hatajiona mwenye amani ktk moyo