hii ni habari mpya nzuri ambayo katika nchi ya ghana kuna mwanafunzi
anayeitwa john ghost monner mwanafunzi kafaulu kwa kupata one ya saba
kabla ya hapo alifanya mtihan wa taifa mwaka 2012 nakufel kwa kupata F
ambayo ilimpa maumivu makubwa sana ila mungu siku zote amtup mja wake
mwanafunzi akaamua kukomaa ajuavyo na baadae akaona bora arudie tena
mtihan katika shule flan iitwayo sockie secondary school ambayo shule
hiyo ilikuwa na walimu bora na hapo ndipo akaongea na head master
aitwaye van ven likker akakubaliwa na kusubili mtihani wa taifa bahati
nzuri siku ya mtihan ikawadia na akafanya mtihan yalivyo toka matokeo
akawa aamin mungu mbaliki mwanafunzi na si tukomae tusizan kufel ndiyo
mwisho wa maisha
